Natafuta binti wa kuanzisha mahusiano hadi kuoana

Natafuta binti wa kuanzisha mahusiano hadi kuoana

MrGeneous

JF-Expert Member
Joined
Oct 3, 2020
Posts
562
Reaction score
285
Hellow wapendwa, mimi ni kijana wa kiume miaka 25 now, muislamu, kabila ni msambaa wa lushoto, elimu ni daktar lakini pia ni askari,naishi Dar es Saalam. Nahitaji binti wakuanzisha mahusiano hadi kufikia kuoana vigezo ninavotaka [emoji1313][emoji1313]

1. Awe muislamu na awe na hofu ya mungu sana.
2. Awe na tabia njema na asiwe muongeaji sana.
3. Umri miaka 18-23.
4. Kabila—mrangi,mnyaturu Au wenye asili ya kizanzibari (rangi awe mweupe na awe na nywele nzuri kichwani nyeusi zakuvutia ambazo sio kipiripirii ndio napenda).
5. BIKRA...muhimu sana kwangu....bikra zote mbele na nyuma.
6. Elimu Yoyote (nahitaji awe motherhouse), nataka nimfungulie biashara lakini mambo ya kufanya kazi Kwenye ofisi za watu sitaki.
7. Umbo— mrefu wa wastani,asiwe mwembamba wala asiwe mnene sana.
8. Awe ni msafii kiujumla (kimwili na kila kitu).
9. Awe anavaa mavazi yakusitiri mwili wake pasipo kulazimishwa.

Alie sereous karibu..
 
Mkuu bikira ya mbele au nyuma [emoji848][emoji848][emoji848]
 
Jaman wasambaa [emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]Mungu anisamee tu bora niende zangu KWA ngosha ntakunywa maziwa na viazi ila SIO kwa msambaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Jaman wasambaa [emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]Mungu anisamee tu bora niende zangu KWA ngosha ntakunywa maziwa na viazi ila SIO kwa msambaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Yah upo sahihi...kila mtu na chaguo lake.
 
Hellow wapendwa,,mimi ni kijana wa kiume miaka 25 now,muislamu ,kabila ni msambaa wa lushoto,elimu ni daktar lakini pia ni askari,naishi daresalam.....nahitaji bint wakuanzisha mahusiano hadi kufikia kuoana vigezo ninavotaka [emoji1313][emoji1313]

1.awe muislamu na awe na hofu ya mungu sana.
2.awe na tabia njema na asiwe muongeaji sana.
3.umri miaka 18-23.
4.kabila—mrangi,mnyaturu Au wenye asili ya kizanzibari (rangi awe mweupe na awe na nywele nzuri kichwani nyeusi zakuvutia ambazo sio kipiripirii ndio napenda).
5..BIKRA.......muhimu sana kwangu....bikra zote mbele na nyuma.
6.elimu Yoyote (nahitaji awe motherhouse)....nataka nimfungulie biashara lakini mambo ya kufanya kazi Kwenye ofisi za watu sitaki.
7.umbo— mrefu wa wastani,asiwe mwembamba wala asiwe mnene sana.
8.Awe ni msafii kiujumla (kimwili na kila kitu).
9.Awe anavaa mavazi yakusitiri mwili wake pasipo kulazimishwa.

Alie sereous karibu....!
Bikra zote mbele na chuma Nyoko nini[emoji23]...... Wakati ukifanya audition utatumia kipimo gani kupima hizo Bikra yaani mbele na nyuma.
 
Back
Top Bottom