Natafuta binti wa kuuza dawa mwenye ADDO

Natafuta binti wa kuuza dawa mwenye ADDO

Snipper

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
1,336
Reaction score
2,171
Habari wataalam,

Ninatafuta binti wa kusaidia kutoa huduma ya kutoa dawa kwenye duka la dawa muhimu ambalo liko Dar wilaya ya Ubungo.
Sifa za muombaji lazima awe amepitia mafunzo ya ADDO na awena cheti.

Tuwasiliane inbox kwa wahitaji.
 
Habari wataalam,

Ninatafuta binti wa kusaidia kutoa huduma ya kutoa dawa kwenye duka la dawa muhimu ambalo liko Dar wilaya ya Ubungo.
Sifa za muombaji lazima awe amepitia mafunzo ya ADDO na awena cheti.

Tuwasiliane inbox kwa wahitaji.
tunaomba namba yako ya simu tafazali tuwasiliane
 
Back
Top Bottom