Spliffcharm
Senior Member
- Jun 21, 2020
- 136
- 370
Utakuwa unamlipa uamishoMaduka yako Dar es salaam - Kijichi, Kigamboni Ungindoni na Zakheim Mbagala. Atakua anahama na kupishana kutokana na ratiba.
Tuchekiane PM mkuu.
Boss Kama nilivyokwambia Ninae mdogo wangu hapa so tunafanyaje boss 0693971700 tunaweza wasilianaTuchekiane PM mkuu.
Shukrani mkuu. NakucheckBoss Kama nilivyokwambia Ninae mdogo wangu hapa so tunafanyaje boss 0693971700 tunaweza wasiliana
Sent from my Infinix X606B using JamiiForums mobile app
Hapana Mkuu, Ni Maduka yako stationed sehemu hizo tatu.Bila shaka ni wakuzunguka kwenye minada?
Ok mkuuHapana Mkuu, Ni Maduka yako stationed sehemu hizo tatu.
Wadada wana alternate kutokana na ratiba za delivery na kwenda Off.
Mungu akubariki na usonge mbele mbali mbali kabisa.Hapana Mkuu, Ni Maduka yako stationed sehemu hizo tatu.
Wadada wana alternate kutokana na ratiba za delivery na kwenda Off.
Amin Mkuu ..!! Ikawe kheri kwetu sote kaka.Mungu akubariki na usonge mbele mbali mbali kabisa.
Shukrani mkuu. Nakucheck
Mkuu check hii namba vizuri, anapokea mtu ambae hana hizi taarifa kabisa. Nakutumia ya kwangu PM.Boss Kama nilivyokwambia Ninae mdogo wangu hapa so tunafanyaje boss 0693971700 tunaweza wasiliana
Sent from my Infinix X606B using JamiiForums mobile app
Mkuu nashukuru sana .. Dogo ni jembe sana.Boss Kama nilivyokwambia Ninae mdogo wangu hapa so tunafanyaje boss 0693971700 tunaweza wasiliana
Sent from my Infinix X606B using JamiiForums mobile app
At least tunapata good report kama hizi. Zinatia faraja sana kwa wengine kupata kupitia humu.Mkuu nashukuru sana .. Dogo ni jembe sana.
Napata feedback nzuri kutoka kwa wife.
haya na wewe unataka wa nni mkuu mwenye sifa ganiAt least tunapata good report kama hizi. Zinatia faraja sana kwa wengine kupata kupitia humu.
Sina hata genge la kumuajiri mtu mkuuhaya na wewe unataka wa nni mkuu mwenye sifa gani
nikuajiri mkuu unitaftie ajiraSina hata genge la kumuajiri mtu mkuu
Fanya hivi, nenda pale madawa ( MSD) keko kaulizie mishe nasikia kuna mishe za day worker palenikuajiri mkuu unitaftie ajira