Natafuta Binti wa kuuza duka la nguo za mitumba

Natafuta Binti wa kuuza duka la nguo za mitumba

Habari Ndugu.

Kama heading inavyosema, natafuta binti wa range ya 18 - 25 Yrs old, Tusaidiane kwenye kuuza nguo za Mitumba za Kina Mama.

Binti awe mwaminifu, Ikiwezekana mcha Mungu, awe mchangamfu kwa wateja na awe panctual na muda.

Maduka yako Dar es salaam - Kijichi, Kigamboni Ungindoni na Zakheim Mbagala. Atakua anahama na kupishana kutokana na ratiba.

Kama una binti yuko serious naomba PM kwa details zaidi.

Ahsante sana.
Kwema JF?
Kwa muendelezo Wa post hii, natafuta dada special Kwa ajili ya deliveries za nguo Kwa wateja. Maeneo ya Kazi ni Kigamboni. Asante Sana.
 
Habari Ndugu.

Kama heading inavyosema, natafuta binti wa range ya 18 - 25 Yrs old, Tusaidiane kwenye kuuza nguo za Mitumba za Kina Mama.

Binti awe mwaminifu, Ikiwezekana mcha Mungu, awe mchangamfu kwa wateja na awe panctual na muda.

Maduka yako Dar es salaam - Kijichi, Kigamboni Ungindoni na Zakheim Mbagala. Atakua anahama na kupishana kutokana na ratiba.

Kama una binti yuko serious naomba PM kwa details zaidi.

Ahsante sana.
Nipe namba nikuunganishie kijana
 
Habari Ndugu.

Kama heading inavyosema, natafuta binti wa range ya 18 - 25 Yrs old, Tusaidiane kwenye kuuza nguo za Mitumba za Kina Mama.

Binti awe mwaminifu, Ikiwezekana mcha Mungu, awe mchangamfu kwa wateja na awe panctual na muda.

Maduka yako Dar es salaam - Kijichi, Kigamboni Ungindoni na Zakheim Mbagala. Atakua anahama na kupishana kutokana na ratiba.

Kama una binti yuko serious naomba PM kwa details zaidi.

Ahsante sana.
Sawa mkuu. Ila isijekuwa ndo unatafuta mkee?? Weka na sifa nyingine kama ndivyo.
 
Back
Top Bottom