Kalaga Baho Nongwa
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 9,953
- 23,150
kwa kada gani mkuu mana temeke mm ndo kona zangu hizi..... casual za cleaning au? kama una mtu wa kuwasiliana nae hapo niunge anipe tipsFanya hivi, nenda pale madawa ( MSD) keko kaulizie mishe nasikia kuna mishe za day worker pale
Kwema JF?Habari Ndugu.
Kama heading inavyosema, natafuta binti wa range ya 18 - 25 Yrs old, Tusaidiane kwenye kuuza nguo za Mitumba za Kina Mama.
Binti awe mwaminifu, Ikiwezekana mcha Mungu, awe mchangamfu kwa wateja na awe panctual na muda.
Maduka yako Dar es salaam - Kijichi, Kigamboni Ungindoni na Zakheim Mbagala. Atakua anahama na kupishana kutokana na ratiba.
Kama una binti yuko serious naomba PM kwa details zaidi.
Ahsante sana.
Kwema JF?
Kwa muendelezo Wa post hii, natafuta dada special Kwa ajili ya deliveries za nguo Kwa wateja. Maeneo ya Kazi ni Kigamboni. Asante Sana.
Nipe namba nikuunganishie kijanaHabari Ndugu.
Kama heading inavyosema, natafuta binti wa range ya 18 - 25 Yrs old, Tusaidiane kwenye kuuza nguo za Mitumba za Kina Mama.
Binti awe mwaminifu, Ikiwezekana mcha Mungu, awe mchangamfu kwa wateja na awe panctual na muda.
Maduka yako Dar es salaam - Kijichi, Kigamboni Ungindoni na Zakheim Mbagala. Atakua anahama na kupishana kutokana na ratiba.
Kama una binti yuko serious naomba PM kwa details zaidi.
Ahsante sana.
Wanaume wamekua sio waaminifu kaka. Wanakuja wakiwa na Shida badae wanaondoka wamepiga tukio. My experience na masela ni mbaya Sana. Ni Kama waTanzania wanavyozingua kwenye miradi mpaka wanàpewa foreigners.Kwa nn wote wadada? Wanaume wapo pia wanaweza hiyo
Nakutumia PM kaka.Nipe namba nikuunganishie kijana
Sawa mkuu. Ila isijekuwa ndo unatafuta mkee?? Weka na sifa nyingine kama ndivyo.Habari Ndugu.
Kama heading inavyosema, natafuta binti wa range ya 18 - 25 Yrs old, Tusaidiane kwenye kuuza nguo za Mitumba za Kina Mama.
Binti awe mwaminifu, Ikiwezekana mcha Mungu, awe mchangamfu kwa wateja na awe panctual na muda.
Maduka yako Dar es salaam - Kijichi, Kigamboni Ungindoni na Zakheim Mbagala. Atakua anahama na kupishana kutokana na ratiba.
Kama una binti yuko serious naomba PM kwa details zaidi.
Ahsante sana.
mkuu bado unatafuta?Kwema JF?
Kwa muendelezo Wa post hii, natafuta dada special Kwa ajili ya deliveries za nguo Kwa wateja. Maeneo ya Kazi ni Kigamboni. Asante Sana.
Nmefanikiwa ndugu. Kwa sasa sihitaji. Shukrani.mkuu bado unatafuta?
maana nilikua nina mdogo wangu nataka nimuunganishe.