natafuta boyfriend

natafuta boyfriend

Kwani wewe ambacho hukielewi hapo ni kipi? Kasema anataka boyfriend na siyo mume! Akili zingine bwana? Au na wewe ulifaulu Std VII pasipo kujua kusoma, kuhesabu wala kuandika? Nyie ndio huwa mnaandika majina yenu kwenye sehemu ya Jina la Shule!

hata mume anaweza kuanzia Uboyfriend! Mbona unamsemea? kama na wewe pia unatafuta b..sha jitangaze pia!
 
Mbona unaonekana ni mvivu??.......hatakujieleza uwezi!!(Mweuc,co)Wewe unamatatizo kwa hali hiyo utampata wa jinsia yako mvivu kama wewe!
 
Kwani wewe ambacho hukielewi hapo ni kipi? Kasema anataka boyfriend na siyo mume! Akili zingine bwana? Au na wewe ulifaulu Std VII pasipo kujua kusoma, kuhesabu wala kuandika? Nyie ndio huwa mnaandika majina yenu kwenye sehemu ya Jina la Shule!

duuuu!!! we mkari umenipa raha kweri.....
 
Mbona unaonekana ni mvivu??.......hatakujieleza uwezi!!(Mweuc,co)Wewe unamatatizo kwa hali hiyo utampata wa jinsia yako mvivu kama wewe!
Una wasiwasi ni mvivu kitandani pia?
Kuna uhusiano eeee?
 
degree ya nini bana...hapo kwenye ufupi ndo tatizo...my opinion lakin...

Daah, well noted!, kumbe mdada akiwa Mfupi, it is a number One disqualification to be Engaged.
 
Back
Top Bottom