Natafuta bucha la nyama ya mbuzi Dar es Salaam

Natafuta bucha la nyama ya mbuzi Dar es Salaam

Mr Why

JF-Expert Member
Joined
Nov 27, 2019
Posts
2,235
Reaction score
4,252
Wapendwa natafuta bucha linalouza nyama ya mbuzi Dar es Salaam

Ni muda mrefu sana sijapata hii nyama mwenye connection atoe location na namba zao za simu
 
Kigamboni Ferry
Mbagala
Kawe Ukwamani

Nenda hayo maeneo utasikia spika zikitangaza nyama ya mbuzi 7K
Miguu
Vichwa
Figo
Maini
Utumbo
Ndugu nashkuru sana kwa connection yako nimehangaika sana kutafuta
 
Back
Top Bottom