Natafuta Business Partner

Nataka hisa asilimia 51, je upo tayar..?
 
Uko wapi mkuu? Na unapatikanajee
 
We
Unataka kupewa mtaji lakini hutaki kuuza hisa endelea kusubiriii. Je ndani ya mwaka utarudisha huo wa 10 m iwapo hutataka kuongeza mkataba? Ina maana mimi nitapoteza pesa zangu nilizoweka kwenye kampuni yako. Maan unaongelea kugawana faida ila huongelei mtaji wa mwanzo unakuwa mali ya nani??
 
Mi naona anaongelea faida tu!!!kuhusu pesa ya mwanzo inajulikana waz lazima irudi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…