chief1
JF-Expert Member
- May 4, 2015
- 1,418
- 1,449
Habari Wana Jamiiforums!
Mimi ni mjasiriamali kwenye sector ya utalii, nipo Arusha. NATAFUTA mtu aliye serious kwaajili ya kufanya nae biashara, najua kuna watu Wana pesa au connection lakini hawajui wanapeleka au wanawekeza wapi,
Bado kuna fursa kubwa katika sector ya utalii hapa Tanzania,ukizingatia Tanzania Bado inapokea watalii wachache Sana ukilinganisha na uzuri was vivutio vilivyopo!
Huyu business partner ataprovide capital na Mimi nitaprovide expertise katika kuanza mpaka tutakapostablize operation zetu, mind you business ikienda vizuri ni mwaka mmoja tu mambo yanabadilika kabisa mkituliza akili
Najua jinsi ya kuoperate, marketing plans ninazo, na Nina website tayari pia
For a serious person please contact me
Mimi ni mjasiriamali kwenye sector ya utalii, nipo Arusha. NATAFUTA mtu aliye serious kwaajili ya kufanya nae biashara, najua kuna watu Wana pesa au connection lakini hawajui wanapeleka au wanawekeza wapi,
Bado kuna fursa kubwa katika sector ya utalii hapa Tanzania,ukizingatia Tanzania Bado inapokea watalii wachache Sana ukilinganisha na uzuri was vivutio vilivyopo!
Huyu business partner ataprovide capital na Mimi nitaprovide expertise katika kuanza mpaka tutakapostablize operation zetu, mind you business ikienda vizuri ni mwaka mmoja tu mambo yanabadilika kabisa mkituliza akili
Najua jinsi ya kuoperate, marketing plans ninazo, na Nina website tayari pia
For a serious person please contact me