Brave_Idiot
JF-Expert Member
- Nov 18, 2023
- 209
- 368
Hasa mazingira ya Mabibo, Mazense na Ubungo,
0692782826
0692782826
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ñjoo Vikindu utafurahiHasa mazingira ya Mabibo, mazense na ubungo, Kiwe na kitanda.
Zaidi ya Tsh 2T, mtoa mada anaweza hata kununua mkoa wa Pwani na akapewa Dar kama nyongeza.Yani chumba cha kupanga kiwe na kitanda?
Anyway, kwa gharama hizo 100,000K unapata nyumba nzima Masaki yenye full furniture.
Karibu sana mjini mkuu, naamin Ntwara umewaacha salama.
😂😂Hasa mazingira ya Mabibo, Mazense na Ubungo, kiwe na kitanda.
Utapata Hostel mitaa ya Mabibo Hostel tatizo mnakua wanne au wawili ndani.Hasa mazingira ya Mabibo, Mazense na Ubungo, kiwe na kitanda.
100,000K ni zaidi ya Tsh 2T??Zaidi ya Tsh 2T, mtoa mada anaweza hata kununua mkoa wa Pwani na akapewa Dar kama nyongeza.
Sorry, zaidi ya 250T100,000K ni zaidi ya Tsh 2T??
Labda hao wa3 wote wawe wakike mm wakiume [emoji23]Utapata Hostel mitaa ya Mabibo Hostel tatizo mnakua wanne au wawili ndani.
Mdau nitapata kiwanja VIKINDU pasiwe mbali na Center? Kwa Bei gani na ukubwa gani?ñjoo Vikindu utafurahi
[emoji23][emoji111] wa2 mnavisaYani chumba cha kupanga kiwe na kitanda?
Anyway, kwa gharama hizo 100,000K unapata nyumba nzima Masaki yenye full furniture.
Karibu sana mjini mkuu, naamin Ntwara umewaacha salama.
Usiforce mm nimetoroka home [emoji23]Alafu sio 100,000K acha ushamba unajua ni bei gani hyo? Andika hivi 100K.
Alafu ndo mwnafunzi wa chuo mwaka wa kwanza? Kaz ipo
Sent using Jamii Forums mobile app