Natafuta Chumba cha 100,000/miezi mitatu

Natafuta Chumba cha 100,000/miezi mitatu

Sasa we unaemkandia unajua 100,000k sawa na bei gan? Inakuwaje akose chumba chenye kitanda? Tena kwa bei hy anapanga hata hostel na mabegi wa wanafunzi humo humo
 
Sasa we unaemkandia unajua 100,000k sawa na bei gan? Inakuwaje akose chumba chenye kitanda? Tena kwa bei hy anapanga hata hostel na mabegi ya wanafunzi humo humo
 
Sasa we unaemkandia unajua 100,000k sawa na bei gan? Inakuwaje akose chumba chenye kitanda? Tena kwa bei hy anapanga hata hostel na mabegi ya wanafunzi humo humo
 
Mtoa mada nina huakika hajajua matumizi ya K(1k), 10k), (100k)
 
unaelewa ulichoandika au unaiga iga tu, unaelewa maana ya K ni 1,000 sasa "chumba" gani titapangishwa 100,000K yani 100,000,000 (million mia)

nyie boda boda na kuiga iga muonekane mnajua kumbe patupu
 
unaelewa ulichoandika au unaiga iga tu, unaelewa maana ya K ni 1,000 sasa "chumba" gani titapangishwa 100,000K yani 100,000,000 (million mia)

nyie boda boda na kuiga iga muonekane mnajua kumbe patupu
Maana ya "K" C ulichonacho katikati ya miguu yako
 
Mtoa mada bado ni mgeni hapa jf 😂

Namuombea msamaha kwa typing error aliyofanya.

Bado anasumbuliwa na vitu vigeni hapa 'mashikolo mageni'
 
Mtoa mada bado ni mgeni hapa jf [emoji23]

Namuombea msamaha kwa typing error aliyofanya.

Bado anasumbuliwa na vitu vigeni hapa 'mashikolo mageni'
Boss Sisi insta threads ndo nyumban, hivi haiwezekan kufuta maan watu tunashid ila ndo imekua jukwaa la matani
 
Boss Sisi insta threads ndo nyumban, hivi haiwezekan kufuta maan watu tunashid ila ndo imekua jukwaa la matani
Unaweza kuwasiliana na mods watoe hiyo k na ibaki 100,000 au waandike 100k kuweka maana uliyokusudia.
 
Back
Top Bottom