Natafuta chumba cha biashara Dar

Natafuta chumba cha biashara Dar

tethering

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2014
Posts
331
Reaction score
139
Jamani naomba yeyote anayekodisha chumba cha biashara Dar kilichopo sehemu nzuri ani PM tuwasiliane, hata kama ulisikia kipo sehemu plz help me. Ahsante.
 
Jamani naomba yeyote anayekodisha chumba cha biashara dar kilichopo sehemu nzuri ani PM tuwasiliane, hata kama ulisikia kipo sehemu plz help me. Ahsante.

Biashara gan unataka kufanya?
 
Mimi napangisha kipo segerea (good location) 50,000/- per month kodi naitaji ya mienzi 6 kwa kuwa ni mwana jamvi mwenzangu .. Kuna jamaa amehamia mkoa kaondoka juzi ... Karibu ..
 
Back
Top Bottom