Natafuta chumba cha kupanga karibu na Mlimani City

Natafuta chumba cha kupanga karibu na Mlimani City

co fm

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2016
Posts
1,541
Reaction score
2,487
Habari za jioni humu ndani,

mimi ni kijana umri miaka 24 graduate katika chuo kimoja wapo hapa mjini Dar es salaam.

Katika mihangaiko ya hapa na pale nimepata kibarua maeneo ya mlimani city sasa nahitaji ushauri wenu nahitaji kupanga chumba maeneo karibu na maeneo ya kazi au hata kama nitapanda gari moja itakuwa poa naombeni ushauri wenu au muongozo ili nipate abc kabla sijaanza kutafuta chumba.

Bajeti chini ya laki moja kwa mwezi

Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Kwa hiyo na wewe kwa umri wako huo utaambukizwa uhuni?

Hamna sio kuambukizwa uhuni...zile effects za uhuni zisijenipata


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Don Clericuzio,

Ndo maana nasema huo ni wivu hapo nimeuliza swali au nimeomba ushauri au maoni...as I can see una stress za maisha.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Back
Top Bottom