Kuna chumba na seble kama unahitji nikuunganishe kipo karibu na Nida kiwanda cha mbu.
Ni PM Inbox contactNaomba uniunganishe na muhusika mkuu
Mkuu sogea hadi kiwanda cha chumvi jirani na chuo cha DACICO utapata vyumba vizuri tu hata vya self vipo
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu umepotelea wapi?Ni PM Inbox contact
mkuu majukumu ya kikaziMkuu umepotelea wapi?
Usijali mkuumkuu majukumu ya kikazi