Damaso
JF-Expert Member
- Jul 18, 2018
- 3,978
- 6,739
Habari za leo wanaJF,
Natafuta chumba cha kupanga maeneo ya Tabata ama Mabibo/ au Segerea. Chumba kimoja tu. Kikubwa ni mazingira yawe rafiki kwa mtu kuishi.
Umeme uwe wa kujitegemea hata kwa Sub mita pamoja na maji.
Bajeti yangu mwisho ni 30k mpaka 40k na ninahitaji ya mkataba wa kuanzia kwa miezi 3 kwanza.
Pesa ya udalali sina lakini kipo kiasi kadhaa cha kupooza machungu.
Tuwasiliane hapa +255785805915
Natafuta chumba cha kupanga maeneo ya Tabata ama Mabibo/ au Segerea. Chumba kimoja tu. Kikubwa ni mazingira yawe rafiki kwa mtu kuishi.
Umeme uwe wa kujitegemea hata kwa Sub mita pamoja na maji.
Bajeti yangu mwisho ni 30k mpaka 40k na ninahitaji ya mkataba wa kuanzia kwa miezi 3 kwanza.
Pesa ya udalali sina lakini kipo kiasi kadhaa cha kupooza machungu.
Tuwasiliane hapa +255785805915