Spinster
JF-Expert Member
- Mar 19, 2012
- 487
- 138
Natufa chumba master na sebure maeneo ya mikocheni,mbezi beach,mwenge, Kijitonyama,
Makumbusho na msasani
Maji yawepo, na umeme wa kujitegemea . isiwe karibu na msikiti wala kanisa,kisiwe cha ndani ya nyumba...kikiwa ndani ya geti itakua vizuri. sehemu zisizo na kelele
Bajeti 180000 kushuka. Mwenye nyumba anipm kwa mawasiliano zaid
Makumbusho na msasani
Maji yawepo, na umeme wa kujitegemea . isiwe karibu na msikiti wala kanisa,kisiwe cha ndani ya nyumba...kikiwa ndani ya geti itakua vizuri. sehemu zisizo na kelele
Bajeti 180000 kushuka. Mwenye nyumba anipm kwa mawasiliano zaid