Brightly
JF-Expert Member
- Apr 28, 2022
- 391
- 623
Habarii wakuu,
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri.
Mimi ni kijana wa kitanzania Mhitimu wa stashahada ya uhandisi ujenzi(Ordinary diploma in civil engineering NTA level 6) kutoka chuo cha ufundi.
Nimekaa mtaanii kwa zaidi ya mwaka mmoja Sasa nikijaribu bahatii yangu katika makampunii mbalimbali ya ujenzi hapa nchini, lakini kinyume na matarajio yangu makampunii ambayo nilibahatika kufanya nayo kazi yalikuwa hayalipii pesa kwa wakati unakaa site zaidi ya miezii mitatu bila kupewa chochote
Pia nimejaribu bahati yangu utumishii lakni sijawezaa kumudu gharama za kwenda kwenye interview Dodoma.
Nimekuja kwenye jukwaa hili nikiamini kuna watu wa aina mbalimbali humu ambao wanawezaa kuguswaa na kuwezaa kunisaidiaa na connection ya kazi aidha serikalini(itapendeza zaidii ili kazi iendelee) au kwenye makampunii binafsi ambayo yanatoaa mikataba kwa wafanyakazii ili niwezee kulijengaa taifa letu tukufu la TANZANIA!!!!!Mungu ibariki Tanzania,.
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri.
Mimi ni kijana wa kitanzania Mhitimu wa stashahada ya uhandisi ujenzi(Ordinary diploma in civil engineering NTA level 6) kutoka chuo cha ufundi.
Nimekaa mtaanii kwa zaidi ya mwaka mmoja Sasa nikijaribu bahatii yangu katika makampunii mbalimbali ya ujenzi hapa nchini, lakini kinyume na matarajio yangu makampunii ambayo nilibahatika kufanya nayo kazi yalikuwa hayalipii pesa kwa wakati unakaa site zaidi ya miezii mitatu bila kupewa chochote
Pia nimejaribu bahati yangu utumishii lakni sijawezaa kumudu gharama za kwenda kwenye interview Dodoma.
Nimekuja kwenye jukwaa hili nikiamini kuna watu wa aina mbalimbali humu ambao wanawezaa kuguswaa na kuwezaa kunisaidiaa na connection ya kazi aidha serikalini(itapendeza zaidii ili kazi iendelee) au kwenye makampunii binafsi ambayo yanatoaa mikataba kwa wafanyakazii ili niwezee kulijengaa taifa letu tukufu la TANZANIA!!!!!Mungu ibariki Tanzania,.