Natafuta Contacts za Dj Mark, yule anaetafsiri Movies kwa Kiswahili

Natafuta Contacts za Dj Mark, yule anaetafsiri Movies kwa Kiswahili

ESPRESSO COFFEE

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2014
Posts
6,170
Reaction score
7,665
Nitapataje mawasiliano ake? Au yupo mtaa gani nataka niongee nae niulize maneno anatoa wapi huyu jamaa hivi naye si moja ya watu maarufu hapa nchini au?

Dj Mark si ni staa yule nitaweza kweli kumfikia au ni kazi sana kama rahisi ndo niende anako semaga kwa alimboa

Akiwa kazini utamsikia wanakujaaaaaaaaaaaaaa wazee ngwasumaaaaaaa achecheeeeeeeeeeeeeeee ( in dj mark voice) na mluzi mbele hahahhahaha

Au nyie wenzetu kizungu huwa mnaelewa hammtegemei huyu jamaa kuna movie sielewi nataka nimpe kazi hahaha

Mwenye picha ake pia aweke hapa ni mfahamu sijui atakuwa bonge la mtu,sijui atakuwa ana kitambi sijui yupoje hahaha namzuka wa kumfaham achecheeeee

Madenge ni katuni lakini star
 
Aaaaarg hizo movie's zilizotafsiriwa sizipendi kabisa.Mimi hasa kwenye za kikorea nataka nikisikie kile kikorea.
Ngoja waje wenzio labda watakusaidia.
 
Nitapataje mawasiliano ake? Au yupo mtaa gani nataka niongee nae niulize maneno anatoa wapi huyu jamaa hivi naye si moja ya watu maarufu hapa nchini au?

Dj Mark si ni staa yule nitaweza kweli kumfikia au ni kazi sana kama rahisi ndo niende anako semaga kwa alimboa

Akiwa kazini utamsikia wanakujaaaaaaaaaaaaaa wazee ngwasumaaaaaaa achecheeeeeeeeeeeeeeee ( in dj mark voice) na mluzi mbele hahahhahaha

Au nyie wenzetu kizungu huwa mnaelewa hammtegemei huyu jamaa kuna movie sielewi nataka nimpe kazi hahaha

Mwenye picha ake pia aweke hapa ni mfahamu sijui atakuwa bonge la mtu,sijui atakuwa ana kitambi sijui yupoje hahaha namzuka wa kumfaham achecheeeee

Madenge ni katuni lakini star

Wapo vizuri kimaisha...!
 
Kwahiyo hata subtitles huwa husomi

Subtitles hua nasoma na kuwasikiliza wakorea wenyewe. Sasa iliyotafsiriwa makelele matupu, kikorea hukisikii na wanatafsiri uongo na ni tofauti na movie kabisa.

Ila original nasikiliza hadi nyimbo zao ambazo nazipenda sana kwa uhuru bila bugudha yoyote.
 
Hua anafurahishaa yupo na yule anaitwa dj mafi nadhana yule kiboko anachekeshaa balaaa alitafsiri arrow on the bowstring nadhan ni kibokoooo
 
Subtitles hua nasoma na kuwasikiliza wakorea wenyewe. Sasa iliyotafsiriwa makelele matupu, kikorea hukisikii na wanatafsiri uongo na ni tofauti na movie kabisa.

Ila original nasikiliza hadi nyimbo zao ambazo nazipenda sana kwa uhuru bila bugudha yoyote.

Hapo kwenye nyimbo ndo ugonjwa wangu napenda korean songs acha hata nyimbo ya huzuni mm naonaga kama inanibembeleza yaani hapo tuu chukua like angu
 
hivi kutafsiri movie siyo illegal?
 
Huyu Mafi na dj mack hua hawadnganyi sema kuna kunogesha fulani hivi sasa wapo wale yaan full kudanganyaa subtitle haiendan na anachotafsirii

Sema watu wame kariri kila anae tafsiri ni anadanganya
 
Hapo kwenye nyimbo ndo ugonjwa wangu napenda korean songs acha hata nyimbo ya huzuni mm naonaga kama inanibembeleza yaani hapo tuu chukua like angu

Na mimi pia chukua yangu kiroho saaafi kabisa!
Hunizidi mimi danya! Naweza hadi kutokwa na machozi kisa zile nyimbo zao.....
Sasa ngoja nikutajie chache na movies zake...
1.Ile sound track ya Slave Hunter
2.Sound tracks za kwenye the hairs
3.Ile sound track ya kwenye City Hunter. ..So good bye don't cry and smile......
4.Sound tracks za kwenye Boys over flowers
5.Sound tracks za kwenye Myung Wol The Spy.. etc etc
Ni nyingi sana siwezi kuzimention zote.Ila kiufupi kwangu mimi hizo ndizo best Koreans drama sound tracks.
 
Last edited by a moderator:
ngoja waje watoto wakishua kutoka povu hapa... wasio mjua dj maki wa mazombi na lufufu

Wanakuuujaaaaaaa!
Hatareeee mwanaumeeeee..
 
Hua anafurahishaa yupo na yule anaitwa dj mafi nadhana yule kiboko anachekeshaa balaaa alitafsiri arrow on the bowstring nadhan ni kibokoooo

Wewe tena mtoto wa nyamagana uswazi usiyajue hayo, mi naangaliaga empire tu
 
Na mimi pia chukua yangu kiroho saaafi kabisa!
Hunizidi mimi danya! Naweza hadi kutokwa na machozi kisa zile nyimbo zao.....
Sasa ngoja nikutajie chache na movies zake...
1.Ile sound track ya Slave Hunter
2.Sound tracks za kwenye the hairs
3.Ile sound track ya kwenye City Hunter. ..So good bye don't cry and smile......
4.Sound tracks za kwenye Boys over flowers
5.Sound tracks za kwenye Myung Wol The Spy.. etc etc
Ni nyingi sana siwezi kuzimention zote.Ila kiufupi kwangu mimi hizo ndizo best Koreans drama sound tracks.

funiko ni ya kwenye faith
 
Last edited by a moderator:
Umenikosha sana mleta mada yaani pamoja na maisha yangu ya sasa lakini sisahau asili yangu ya kuangalia movies kwenye mabanda tena za dj mark huwa nafarijika sana ila nikikua nitaacha.
 
Back
Top Bottom