Abou Saydou
JF-Expert Member
- Dec 1, 2014
- 2,947
- 2,108
Teh teh teh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hua anafurahishaa yupo na yule anaitwa dj mafi nadhana yule kiboko anachekeshaa balaaa alitafsiri arrow on the bowstring nadhan ni kibokoooo
watakuwa wanasimulia maana wengi wanaongea kwa ushabikiHivi wale wanatafsiri au wanasimulia???..ila ni illegal sema nani atawakamata
Umenikosha sana mleta mada yaani pamoja na maisha yangu ya sasa lakini sisahau asili yangu ya kuangalia movies kwenye mabanda tena za dj mark huwa nafarijika sana ila nikikua nitaacha.
Huyu Mafi na dj mack hua hawadnganyi sema kuna kunogesha fulani hivi sasa wapo wale yaan full kudanganyaa subtitle haiendan na anachotafsirii
Mimi toka nifahamu kikristo, nikiona movie imetafsiriwa uwa siwezi angalia hata iwe ya kikorea naona bora nidownload subtitles.
Unless iwe imetafsiriwa kama zile tamthilia za kichina zinazoinyeshwa tbc za akina maudodo
Mpe wasifu wake unaomstahili...unahitaji contacts za HARAMIA au FISADI Dj Mark.
Anachofanya ni kudhulumu kazi za wenyewe, yaani wengine waumize vichwa mpaka kazi itoke hivyo unavyoiona, then wewe uje tu na kuigeuza dili lako....hana tofauti na anavyofanya yule NYOKA MWENYE MAKENGEZA.
Aaaaarg hizo movie's zilizotafsiriwa sizipendi kabisa.Mimi hasa kwenye za kikorea nataka nikisikie kile kikorea.
Ngoja waje wenzio labda watakusaidia.
Nimepata tabu kukuelewa kikristo unamanisha nini nikajua umeokoka ila sasa nimekuelewa si ndo ule ugonjwa wa yule mchezaji mkubwa wa machester united anaitwa Valencia ambao unamsumbua lakini wewe hapana hahahahahah
Ulitaka aue albino au awe jambazi anajitafutia bana kutafsiri napo ni kazi mnoo