martial arts Senior Member Joined Jun 26, 2014 Posts 191 Reaction score 100 Jun 28, 2019 #1 Rejea kichwa tajwa hapo juu,natafuta mtu anaeuza laptop yoyote ambayo ni convertible au 2 in 1,kwa maana inaweza kutumika katika mode zote either tablet mode au pc mode. Nawasilisha
Rejea kichwa tajwa hapo juu,natafuta mtu anaeuza laptop yoyote ambayo ni convertible au 2 in 1,kwa maana inaweza kutumika katika mode zote either tablet mode au pc mode. Nawasilisha
king kan JF-Expert Member Joined May 6, 2011 Posts 1,639 Reaction score 2,066 Jun 28, 2019 #2 Una tsh ngapi!
king kan JF-Expert Member Joined May 6, 2011 Posts 1,639 Reaction score 2,066 Jun 28, 2019 #3 Una tsh ngapi?
martial arts Senior Member Joined Jun 26, 2014 Posts 191 Reaction score 100 Jun 28, 2019 Thread starter #4 king kan said: Una tsh ngapi! Click to expand... 1M
king kan JF-Expert Member Joined May 6, 2011 Posts 1,639 Reaction score 2,066 Jun 28, 2019 #5 Kwa bei hiyo cheki Kariakoo kuna duka nimelisahau jina lakini lipo mtaa wa Uhuru opposite na Total Petrol Station. Cheki hapo
Kwa bei hiyo cheki Kariakoo kuna duka nimelisahau jina lakini lipo mtaa wa Uhuru opposite na Total Petrol Station. Cheki hapo
martial arts Senior Member Joined Jun 26, 2014 Posts 191 Reaction score 100 Jun 28, 2019 Thread starter #6 king kan said: Kwa bei hiyo cheki Kariakoo kuna duka nimelisahau jina lakini lipo mtaa wa Uhuru opposite na Total Petrol Station. Cheki hapo Click to expand... Shukrani!
king kan said: Kwa bei hiyo cheki Kariakoo kuna duka nimelisahau jina lakini lipo mtaa wa Uhuru opposite na Total Petrol Station. Cheki hapo Click to expand... Shukrani!