Ili mtu alale si inabidi akabembelezewe kitandani sasa ukishabembelezwa nini kituo kinachofuataHapana mkuu, ndoa ni kifungo cha uhuru na maisha. Nikijiskia kupunguza wazungu nitakuwa naingia chimbo. Huyu binti atakuwa ananipikia, kunifulia, kunilisha na kunibembeleza nilale tu