Melki Wamatukio
JF-Expert Member
- May 3, 2022
- 6,156
- 10,974
- Thread starter
-
- #41
Kwamba wachangamkie fursa mkuu? [emoji2] Lakini mimi sijalenga kuoa wala kumtumikisha mtu kimapenzi. Ila kama atajichanganya ni yeye mwenyewe, wala hakutokuwa na ongezeko la mshahara wa kujigegedea mkuyengeni kwanguHuu uzi ni majibu kwa zile post.za wadada wanaotafuta mume/mchumba kazi
Hapana mkuu, natafuta dada mwaminifu wa kazi (hausi geri)Unatafuta mke
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kijacheka kwa kufurahia ila hii comment yako[emoji15][emoji15][emoji2] Aisee, sasa kibamia na dada wa kazi vinaingiliana vipi [emoji23][emoji23] Anyway, ndio maana nikasema hawezi kunyanyasika kingono kama atakuwa kwangu, ikibidi atakageuza kama sehemu ya mazoezi, akitoka nje na kanga yake anafika anakarukia tu "chumbwi"
Ona sasa, umma umekwisha fahamu kuwa nina kibamia [emoji24][emoji24]
😅😅😅😅Haya bana[emoji38][emoji38][emoji38]
Saaa unataka iwe huduma extra mkuu? Yani bure bure tuu?Kwamba wachangamkie fursa mkuu? [emoji2] Lakini mimi sijalenga kuoa wala kumtumikisha mtu kimapenzi. Ila kama atajichanganya ni yeye mwenyewe, wala hakutokuwa na ongezeko la mshahara wa kujigegedea mkuyengeni kwangu
Binafsi sintomuhitaji kingono, tena mimi kawaida yangu nikishakandwa na mafuta ya olive mgongoni huwa sitingishiki, badala yake nasinzia moja kwa moja, nakuja kushtuka asubuhi na kuwahi majukumuSaaa unataka iwe huduma extra mkuu? Yani bure bure tuu?
Tafuta mke boya wee jamaa😅😅😅Hello wanajukwaa,
Naomba kurudi kwenu kuomba kama nitapata binti wa kazi atakayekubali kwa hiki kiasi kidogo cha pesa nilichobarikiwa na Mola cha 63k kwa wiki, sawa na 9k kwa siku. Ni kwa vile tu hali ni ngumu kwa sasa
Binti anatakiwa awe na bidii ya kazi, nikisema binti wa kazi awe wa kazi kweli kweli, awe na umri kati ya miaka 17 na 21. Asiwe na mtoto, asiwe mtu wa kuranda randa mitaani na kwenye majumba ya watu, asiwe na kiburi au dharau, asiwe mrefu kiivyo wala mfupi kiivyo, awe na urefu wa kati, walau anifikie kifuani, asiwe mnene sana wala asiwe kimbaumbau, awe na sauti nyororo kiasi kwamba nikiskia "Karibu chakula boss" hata kama nimeshiba nihisi njaa kali sana.
Awe ni mtu wa kuonesha tabasamu kutoka kwenye sura yake ya malaika kiasi kwamba aendane na mwonekano wa gheto langu lenye kitanda na godoro 5×6, vyombo vichache tu pamoja na jiko la gesi, smart tv ya High HQ inch 32, home theater ya mchongo niliyoinunua kwa 120k na flash ya movie
Sakafu ya gheto langu ina vigae, hivyo kumrahisishia zoezi zima la kufanya usafi. Kazi zitakazokuwepo ni pamoja na kuamka saa 11 ili kunitayarishia chai na maji ya kuoga, kunifulia nguo (mara moja kwa wiki), usafi ndani kwangu, kunitayarishia chakula cha jioni, kunilisha na kunibembeleza ili nilale
Ofa atakazozipata ni pamoja na 40k jumamosi ya mwisho ya mwezi kwa ajili ya matumizi yake binafsi, 10k ndani ya wiki ya pili ya mwezi kwa ajili ya Pedi.
Kazi ninayoiona ni ngumu hapa kwangu labda ni kufua tu, hata hivyo huwa sichafui nguo saaana. Kuhusu usafi aondoe shaka, maake nyumba yangu ni chumba kimoja tu (gheto)
Anayewiwa, au anayeweza kunipa connection ya kumpata anicheki PM
Muhimu: Binti huyo awe na mtrako skonzi unaonesa nesa, asiwe mtu wa kugawa gawa, awe na nyou nyou zinazoeleweka
Nawasilisha, msaada wakuuView attachment 2422654
[emoji23][emoji23]Hapana mkuu, ndoa ni changamoto. Wanawake hawaaminiki, ni sawa na kujiingiza kwenye kifungo huru cha Si Sar MadiniTafuta mke boya wee jamaa[emoji28][emoji28][emoji28]
Imbombo ngafu.....asiwe mrefu kiivyo wala mfupi kiivyo, awe na urefu wa kati, walau anifikie kifuani, asiwe mnene sana wala asiwe kimbaumbau,
Anhaa kwahy wee jamaa ukirud kutok town unamparamia Tena mtot wa watu ,huoni utamfanya mtumwa ,kwann usioe ukatulia zako[emoji23][emoji23]Hapana mkuu, ndoa ni changamoto. Wanawake hawaaminiki, ni sawa na kujiingiza kwenye kifungo huru cha Si Sar Madini
Bora kuwa na waziri wa chakula unayeishi naye pamoja na jopo la mawaziri wa mambo ya nje kutoka huko kwenye viwanja vyao, yaani unarudi nyumbani ukiwa mwepesiiiiiii
Niliweka vipimo vya urefu wangu hapo. Nahisi mods wameviondoaImbombo ngafu.....
Hapana mkuu, nikitoka kazini napitia kwa wale dada zetu, kisha natandika viwili. Nikirudi gheto niko mwepesi. Huyu hausi geri ananikanda tu mabegani ili nisinzie, hata hivyo ni muda mfupi tu si chini ya dk 15 nakuwa nshapoteaAnhaa kwahy wee jamaa ukirud kutok town unamparamia Tena mtot wa watu ,huoni utamfanya mtumwa ,kwann usioe ukatulia zako
Ili iweje, urefu na kazi za ndani kunahusiana vpwalau anifikie kifuani
Kwa hio unataka lala naeKuhusu usafi aondoe shaka, maake nyumba yangu ni chumba kimoja tu (gheto)
Ni vile tu sitaki kumtazama kwa juu kama namsujudia ama kumtazama kwa chini kama namdharau. Wala hakuna lolote bayaIli iweje, urefu na kazi za ndani kunahusiana vp
Tutakuwa tunalala wote tu, mbona kitanda ni kikubwa tu? kwani tano kwa sita hakitoshi? Ye anabana huko ukutani, mimi nasogea upande wa pili, katikati tunaweka seng'enge au vipande vya chupa. Tunahakikisha tunalala mzungu wa nneKwa hio unataka lala nae
😅😅Wee jamaa boya kweli ,lengo lako ni nn nlizan unakaa nyumba kubwa ,kumbe kigheto cha mchongo tuTutakuwa tunalala wote tu, mbona kitanda ni kikubwa tu? kwani tano kwa sita hakitoshi? Ye anabana huko ukutani, mimi nasogea upande wa pili, katikati tunaweka seng'enge au vipande vya chupa. Tunahakikisha tunalala mzungu wa nne
Baada ya mwezi unaanza kumpelekea maembeTutakuwa tunalala wote tu, mbona kitanda ni kikubwa tu? kwani tano kwa sita hakitoshi? Ye anabana huko ukutani, mimi nasogea upande wa pili, katikati tunaweka seng'enge au vipande vya chupa. Tunahakikisha tunalala mzungu wa nne
Ni kwa vile tu mimi ni mvivu wa kufua, yaani naweza kusinzilia kwenye beseni. Pia chakula cha mgahawani huwa kinanitonesha madonda ya tumbo. Istoshe siwezi kupika kwa sababu nina alleji na moshi wa mafuta ya kupikia.[emoji28][emoji28]Wee jamaa boya kweli ,lengo lako ni nn nlizan unakaa nyumba kubwa ,kumbe kigheto cha mchongo tu