Natafuta dada wakuchati kabla ya kulala

Natafuta dada wakuchati kabla ya kulala

MPAMBANAJI.COM

JF-Expert Member
Joined
Mar 2, 2011
Posts
712
Reaction score
332
Si kawaida yangu... ila upweke unanifanya nikuombe wewe dada utakayependezwa kuchati nami basi unikubalie tuuu...

Nakusubiri.....ila si mambo ya tendo...Dini yangu hairuhusu tendo mpaka kifo


Aksantee
 
kwa nini iwe dada tu?kuchati,unaweza ku chati na yoyote yule.
 
naam dada, atanipa usingizi n we can talk thing of different advices n backgrounds
 
Si kawaida yangu... ila upweke unanifanya nikuombe wewe dada utakayependezwa kuchati nami basi unikubalie tuuu...

Nakusubiri.....ila si mambo ya tendo...Dini yangu hairuhusu tendo mpaka kifo


Aksantee
Janja ya nyani..... kula hindi bichi, mpo???????
 
hiyo ni dalili ya UMALAYA.mbona hata sisi wanaume tunamawazo mazuri tu ta kubadilishana..hau unataka mbadilishane mengine Brother.
 
Mtego mbovu ila hutakosa wa kuuingia mkenge
OTIS
 
Dini gani hiyo....pili nitumie voucher na contact zako kazi itaanza usiku wa leo
 
Mi mkaka, ila nataka tuchat, uko tayari??????
 
Hahahaa dini hairuhusu tendo ila inaruhusu kuchat na dada only sio kaka,hiyo dini nimeipenda!
 
Chat na pua yako. Sema umeshindwa kutongoza unafkr utawapa huko . Hiloooooooo. Piga geuza
 
Back
Top Bottom