jerry monny
Member
- Dec 6, 2010
- 94
- 0
nipo arusha,kunarafiki yangu anatafuta darasa maalum kwa ajili yakujifunza lugha ya kingereza.vyuo vipo vingi sana kwa sasahivi yupo pale jengo la molell alakini hakuridhika na mafunzo anayopata.tafadhali kwa anaefahamu wapi lilipo chuo,shule,au mwalimu mzuri wa kumsaidia.bei watapatana hili halina tatizo.naombeni msaada wenu.asante.
Jamaa mwenyewe hata kiswahili chenyewe mzozo,duh!poa alakini ngoja aendelee na hapo alipo then ata seach huko mbele.
Umekishambulia kiswahili chake, cha kwako jee?
Nahisi ni yeye
Maria Roza unahisi ni yeye nani?
Hiyo ni gea na wala si rafikie jua mficha maradhi ni vigumu kupona sema ni wewe au tuambie matembele kwa kiinglish ni nn? ili tuamini
Hiyo ni gea na wala si rafikie jua mficha maradhi ni vigumu kupona sema ni wewe au tuambie matembele kwa kiinglish ni nn? ili tuamini