jerry monny
Member
- Dec 6, 2010
- 94
- 0
nipo arusha,kunarafiki yangu anatafuta darasa maalum kwa ajili yakujifunza lugha ya kingereza.vyuo vipo vingi sana kwa sasahivi yupo pale jengo la molell alakini hakuridhika na mafunzo anayopata.tafadhali kwa anaefahamu wapi lilipo chuo,shule,au mwalimu mzuri wa kumsaidia.bei watapatana hili halina tatizo.naombeni msaada wenu.asante.