cacashian01
Member
- Mar 3, 2016
- 76
- 62
Kama unaishi DSM zama mtaa wa Shaurimoyo na mtaa wa Lindi kuanzia Machinga Complex hadi vinapokutana na mtaa wa Msimbazi. Hapo zinauzwa "spare parts used" za kila aina.
Nimeenda pia japo sijamuulizia huyo mtu ila wadau wapale wamesema hawana.walinielekwza kwa mama mmoja nae hanacacashian01
Nenda Tandale wanapo katakata magari na kuuza spear, Ulizia Mtu anaitwa DANGOTE, yeye ni Dealer wa NISSAN Tu, anaweza kuwa nayo au akakupa mwongozo.
Shauri moyo pia nimezunguka mitaa kadhaa sijapata labda kama kesho tena niamkie huko mapema.ambayo nimepata niya manual,hii ninayo hitaji ni automaticKama unaishi DSM zama mtaa wa Shaurimoyo na mtaa wa Lindi kuanzia Machinga Complex hadi vinapokutana na mtaa wa Msimbazi. Hapo zinauzwa "spare parts used" za kila aina.
Nashukuru kwa ushauri ntarudia tena keshoNenda shauri moyo/ilala kwenye maduka ya spea used