Kinga au tiba??sasa picha zako zinahusiana nini na dawa?
Anyway katafute mlonge longe unapatikana mikoa ya pwani mpaka morogoro!
chuma majani yake kausha halafu saga!
kunywa glas moja mara3,maji ya vugu vugu!
Ni kinga tosha
Majani kiasi gani?sasa picha zako zinahusiana nini na dawa?
Anyway katafute mlonge longe unapatikana mikoa ya pwani mpaka morogoro!
chuma majani yake kausha halafu saga!
kunywa glas moja mara3,maji ya vugu vugu!
Ni kinga tosha
Nipo dsm mkuu0787986992 Mtafute huyu jamaa kama upo Dar
What is the dosage?Kautafute mshubiri..Aloe vera unatibu pia malaria
Hiyo salehe ishofu inapatikana wapi mkuu, nielekezepiga kitu salehe la Ishofu ama Aloe Vera ukichanganya na Asali Hatari sana
ZanduWakuu bila kuchelewa na kumung'unya mate na maneno midomoni, nilikuwa naomba ushauri na maelekezo kutoka kwenu, bila mzaha wala jokes, kikubwa zaidi nilikuwa naomba mnishauri dawa ya kutibu malaria za kienyeji.
Ipi dawa ilio bora, maana hizi dawa za [emoji541] hospital, nahisi kama hazisaidii na zingine ukizitumia baada ya upate nafuu ya kupona ndio zinakuchosha kabisa mwili saa nyingine mpaka appetite ya kula inapotea mdomoni.
Sasa kama yupo mtaalam wa dawa ya malaria za kienyeji naomba anielekeze nawasilisha huu uzi kwenu wakuu kwa heshima na taadhima itifaki imezingatiwa wakuu.
Sawa mkuu nimekuelewa nakuja pm.Kuna shamba la NIMR lipo Tanga kula wameotesha mimea ya dawa mbalimbali.
Nko mbali kwa sasa labda uni pm baada ya mwezi nitakutumia picha na majina ya izo dawa.
Mkuu nieleweshe vizuri, nikuelewe kuhusu "ZANDU"Zandu
Nataka tiba, baadae kinga mkuuKinga au tiba??
IPO maduka ya asili.ni ya unga.chungu kinoma.ila ni dawa nzuriMkuu nieleweshe vizuri, nikuelewe kuhusu "ZANDU"
Kifo tumeumbiwa wote mkuu usikiogope, siku ikifika imefika.Subir ufe ukisibir iyo dawa
Ok mkuu nimekupata vizuriTafuta mizizi ya mkwizingi huu mti ni balaa unatibu malaria kwa glasi tatu.
Kwa dar wanauita mkundekunde ni mti wenye matunda marefu membamba halafu ni evergreen kama ilivyo mwarobaini.
Pouwa pouwa mkuuNitafute nikusaidie dawa safi
Mkuu inatakiwa kuweka kiasi gani cha mlonge uliosagwa kwenye glas moja ya maji?sasa picha zako zinahusiana nini na dawa?
Anyway katafute mlonge longe unapatikana mikoa ya pwani mpaka morogoro!
chuma majani yake kausha halafu saga!
kunywa glas moja mara3,maji ya vugu vugu!
Ni kinga tosha