Natafuta dawa ya kienyeji ya kutibu malaria

Natafuta dawa ya kienyeji ya kutibu malaria

sasa picha zako zinahusiana nini na dawa?

Anyway katafute mlonge longe unapatikana mikoa ya pwani mpaka morogoro!
chuma majani yake kausha halafu saga!
kunywa glas moja mara3,maji ya vugu vugu!
Ni kinga tosha
Kinga au tiba??
 
sasa picha zako zinahusiana nini na dawa?

Anyway katafute mlonge longe unapatikana mikoa ya pwani mpaka morogoro!
chuma majani yake kausha halafu saga!
kunywa glas moja mara3,maji ya vugu vugu!
Ni kinga tosha
Majani kiasi gani?
 
mwarobaini chuma maji yale mateke mateke(machanga) kunywa kila baada ya muda fulani(jipangie mwenyewe) for the rest of your life
 
Tafuta mizizi ya mkwizingi huu mti ni balaa unatibu malaria kwa glasi tatu.
Kwa dar wanauita mkundekunde ni mti wenye matunda marefu membamba halafu ni evergreen kama ilivyo mwarobaini.
 
Wakuu bila kuchelewa na kumung'unya mate na maneno midomoni, nilikuwa naomba ushauri na maelekezo kutoka kwenu, bila mzaha wala jokes, kikubwa zaidi nilikuwa naomba mnishauri dawa ya kutibu malaria za kienyeji.

Ipi dawa ilio bora, maana hizi dawa za [emoji541] hospital, nahisi kama hazisaidii na zingine ukizitumia baada ya upate nafuu ya kupona ndio zinakuchosha kabisa mwili saa nyingine mpaka appetite ya kula inapotea mdomoni.

Sasa kama yupo mtaalam wa dawa ya malaria za kienyeji naomba anielekeze nawasilisha huu uzi kwenu wakuu kwa heshima na taadhima itifaki imezingatiwa wakuu.
Zandu
 
Kuna shamba la NIMR lipo Tanga kula wameotesha mimea ya dawa mbalimbali.

Nko mbali kwa sasa labda uni pm baada ya mwezi nitakutumia picha na majina ya izo dawa.
Sawa mkuu nimekuelewa nakuja pm.
 
Tafuta mizizi ya mkwizingi huu mti ni balaa unatibu malaria kwa glasi tatu.
Kwa dar wanauita mkundekunde ni mti wenye matunda marefu membamba halafu ni evergreen kama ilivyo mwarobaini.
Ok mkuu nimekupata vizuri
 
sasa picha zako zinahusiana nini na dawa?

Anyway katafute mlonge longe unapatikana mikoa ya pwani mpaka morogoro!
chuma majani yake kausha halafu saga!
kunywa glas moja mara3,maji ya vugu vugu!
Ni kinga tosha
Mkuu inatakiwa kuweka kiasi gani cha mlonge uliosagwa kwenye glas moja ya maji?
 
Back
Top Bottom