Samir7900000
Member
- Jul 26, 2016
- 52
- 26
Ndugu JF jeraha langu lina siku 3 toka pamewekwa dawa na bandage, doctor aliniambia ndani ya siku 3 niitoe nilipo niko mbali na hospital na bandage imeshika imekauka kwenye kidonda, je nitumie njia IPI kuindoa bila kuumia