Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuuuu!!! Si watanenepa hatareee[emoji3]chukua nusu kilo ya unga wa ngano,nusukilo ya sukari uliyoitwanga sana,robotatu ya baking soda changanya vizuri weka maeneo yao umemaliza
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahahah.....Kuwafanyia mauaji ya halaiki
DuuuhDownload mlio wa paka kwenye simu yako then play huo mlio mara kadhaa ndani ya nyumba panya wanahama
Kwa hiyo kipimo kikiwa chini ya Hapo hao panya hawaondoki?chukua nusu kilo ya unga wa ngano,nusukilo ya sukari uliyoitwanga sana,robotatu ya baking soda changanya vizuri weka maeneo yao umemaliza
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo Watoto wamejaa sana humu ndani kwa sasaNikiangalia Comment za watu wengi Humu ndani naishia kujiskia vibaya kama vile mimi ni muuliza swali,kiukweli sijajua tatizo la JF hii hadi leo,maana kipindi cha nyuma kidogo ukiuliza swali kama hili ilikua lazma upate solution nzuri..ila nowdays ni utani,kejeli na dhihaka mno kuuliza swali JF,kama mtu hajauliza swali kwa Utani au dhihaka kwann umjibu hivyo? Si ustaarabu hata kidogo, tujifunze kunyamaza pale ambapo tunaweza kuwakwaza watu wengine..hasa wenye Matatizo
Sent using Jamii Forums mobile app
Duuuh
Tumia vidonge vya Indocid kwa kuweka ktk nyanyakama mada isemavyo njia nyingine ya kufukuza panya tofauti na sumu ya panya
sawa aseeh ngoja nitajaribuUnashangaa Mkuu, nilifanya siku moja sikuwa na namna it worked very well hadi sasa sijawasikia hao wadudu
Mkuu nahisi hujamuelewa mtoa mada
hawa paka wa mjini chenga sana,wangu anajifanya hali panya,hata akimuua anamchezea afu anasepa,ye anakunywa maziwa tu na nyama ya kupikwadawa ya panya ni kufuga paka ila kama wewe ni msela kigeto geto paka utamtesa tu bora ununue sumu.
Sent from my Siemens kidole juu using JamiiForum mobile app.