politicians
Senior Member
- Apr 8, 2018
- 154
- 124
Habari wadau!, natafuta dereva wa magari ya mizigo anayekwenda kenya,ambaye anayeweza kunichukulia mzigo wangu kidogo kutoka nairobi kuleta Tz,anitext +255687234549,tutaelewana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani mabasi yameshaanza ruti za Dar to Nairobi?Ukishindwa tumia wenye mabasi,kama mzigo sio mkubwa
Sina uhakika,labda afike ofisini aulizie....pia wanaweza kumsaidia namba za wenye malorikwani mabasi yameshaanza ruti za Dar to Nairobi?