Natafuta DIY enthusiasts humu tubadilishane mawazo

Natafuta DIY enthusiasts humu tubadilishane mawazo

Mr DIY

JF-Expert Member
Joined
Dec 24, 2016
Posts
1,188
Reaction score
2,553
Mimi naamini hakuna binadamu aliezaliwa hapa duniani akashindwa kufanya chochote ambacho binadamu mwenzie anafanya bila shida, siongelei professionals ambazo zinahitaji special training hapana, maana halisi ya DIY ni kile ambacho unaweza kufanya mwenyewe, DO IT YOURSELF.

Kwangu mimi nimejikuta nakuwa plumber, electrician, welder, carpenter, fundi makenika, fundi mwashi, fundi electronics nk nk nk na kila uchwao najikuta natamani kufanya vitu zaidi na zaidi sifanyi kwa kuongeza kipato no, ili uwe DIY hii unatakiwa uifanye mwenyewe kwa mapenzi yako huku ukitatua changamoto zako nyumbani kwako au kazini kwako.

Karibuni ma DIY tupeane uzoefu na changamoto
 
Mimi naamini hakuna binadamu aliezaliwa hapa duniani akashindwa kufanya chochote ambacho binadamu mwenzie anafanya bila shida, siongelei professionals ambazo zinahitaji special training hapana, maana halisi ya DIY ni kile ambacho unaweza kufanya mwenyewe, DO IT YOURSELF.

Kwangu mimi nimejikuta nakuwa plumber, electrician, welder, carpenter, fundi makenika, fundi mwashi, fundi electronics nk nk nk na kila uchwao najikuta natamani kufanya vitu zaidi na zaidi sifanyi kwa kuongeza kipato no, ili uwe DIY hii unatakiwa uifanye mwenyewe kwa mapenzi yako huku ukitatua changamoto zako nyumbani kwako au kazini kwako.

Karibuni ma DIY tupeane uzoefu na changamoto
Kama unaweza kuvifanya vyote hivyo kwa ustadi mkubwa (kama professionals), na bila kufundishwa, bila shaka una elements za u-genius.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Napenda kucheza na electronics ila bongo vifaa hakuna
 
Back
Top Bottom