Anhaa kuna duka fulani lipo pale Soweto...upande wa huku barabara ya florida kama unapandisha kwenda mianzini mkono wa kulia...kuna barabara inaelekea kule Maezeki ilipokuwepo...hapa mwanzoni kuna duka linaitwa MARTY (E.A) CHEMICALS LIMITED KAJARIBU KUWAONA
Kuna dada mmoja anaitwa TINNA yupo opposite na stand ya Dar express..nimempendekeza yeye kwakua anauzoefu wa miaka mingi na hiyo biashara,zaidi ya miaka ishiririni hapo utapata vyote jaribu
Kuna dada mmoja anaitwa TINNA yupo opposite na stand ya Dar express..nimempendekeza yeye kwakua anauzoefu wa miaka mingi na hiyo biashara,zaidi ya miaka ishiririni hapo utapata vyote jaribu