Kichuguu
Platinum Member
- Oct 11, 2006
- 17,048
- 22,790
Leo nimeangalia video clip ya Zari the boss lady alipokuwa akifanya mapenzi na mchepuko wake mwingine, siyo Diamond. Zari mwenyewe kupitia ukurasa wake wa facebook aliandika kupinga sana kitendo hicho, lakini gazeti moja la udaku huko kwao Uganda limeshaandika habari hiyo na kuchapisha picha zake akiwa katika tendo la kujamiiana, na video yenyewe imekuwa inasambaa haraka sana kwenye mtandano hadi hata mimi nimeiona.
Miaka ya hivi karibuni imekuwa ni kawaida kwa magazeti ya udaku kudokoa habari za watu binafsi na kuziweka hadharani, mfano mwaka jana Gazeti la udaku Tanzania lilichokonoa mapenzi baina ya Diamond na Irene bila idhini yao wenyewe na kuchapisha hadharani habari hiyo, jambo lililovuruga sana uhusiano wa kindoa baina ya Irene na mme wake Kataut.
Kwa wanasheria, je kuna sheria yoyote Tanzaniua inayomlinda mtu binafsi ili video na picha zake zisitolewe hadharani bila idhini yake? Na kama ipo, je inafanyaje kazi iwapo picha na video inayoyolewa haina madhara yoyote lakini bado muhusika hapendi itolewe? Tusaidieni kabla hayajatukuta
Miaka ya hivi karibuni imekuwa ni kawaida kwa magazeti ya udaku kudokoa habari za watu binafsi na kuziweka hadharani, mfano mwaka jana Gazeti la udaku Tanzania lilichokonoa mapenzi baina ya Diamond na Irene bila idhini yao wenyewe na kuchapisha hadharani habari hiyo, jambo lililovuruga sana uhusiano wa kindoa baina ya Irene na mme wake Kataut.
Kwa wanasheria, je kuna sheria yoyote Tanzaniua inayomlinda mtu binafsi ili video na picha zake zisitolewe hadharani bila idhini yake? Na kama ipo, je inafanyaje kazi iwapo picha na video inayoyolewa haina madhara yoyote lakini bado muhusika hapendi itolewe? Tusaidieni kabla hayajatukuta