Gentleman96
JF-Expert Member
- Mar 12, 2019
- 912
- 1,670
[emoji3516]Habari wakuu.
NATAFUTA ENEO KWA AJILI YA MGAHAWA AU M PESA MTAJI LAKI TANO TU. Nimehangaika sana hapa Dar sasa nimepata laki tano kama mtaji wa kuanza kufanya biashara ndogo ndogo kwa
View attachment 1825257View attachment 1825256
View attachment 1825258
Kipo kibanda mnazi mmoja , dsm , nicheki pmHabari wakuu.
NATAFUTA ENEO KWA AJILI YA MGAHAWA AU M PESA MTAJI LAKI TANO TU. Nimehangaika sana hapa Dar sasa nimepata laki tano kama mtaji wa kuanza kufanya biashara ndogo ndogo kwa sababu njaa ni kali sana.
Njoo dm
Nishafika check dmNjoo dm
Tayari nasubr ajibuNenda dm kwa huyu akupe eneo
Dah ! Siwek lesen, labda TRA wanikabeHiyo laki tano inaishia kwenye kutafuta eneo ,frame ,leseni ,n.k
Ongezaa hela kijana
Picha za kupamba uzi labda😀😀[emoji3516]
HIZO PICHA ZINA UHUSIANO GANI NA UZI??
TUANZIE HAPO.
AKISHINDWA NI PMKipo kibanda mnazi mmoja , dsm , nicheki pm
Nilienda kupatazama, nilishindwa!AKISHINDWA NI PM