Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa nini kisesa?Nenda kisesa.
Kununua nyumba hapana mkuu,,,,,nimeambiwa usagara pia kuna maeneo je pako vizuri pia?Mkuu Kuna nyumba inauzwa hapa kishiri mwenyewe anahitaji kurudi shamba upepo wa mjini umemuendea vibaya.
Ila Kama unataka kujenga mza pasipo na mawe sehemu zipo nyingi mno like malaika road,nyakato sokoni,nation, igoma,nyashishi,buhongwa, nyamhongolo, buswelu,mwanza town hapo Uhuru waweza nunua nyumba za 1960 ukaweka kitu modern Ni wewe na mfuko wako chaguzi kwako mkuu
Kisesa kuna shida kubwa ya maji inaeza pita hata mweziNenda kisesa.
Kisesa, usagara nyashishi zote ni miji mipya na unapata access ya barabara. Umeme upo barabara kuu, maji ndo kazi. Maana makazi si mengi Sana. Sasa inategemea na eneo lako la kazi lilipo.kununua nyumba hapana mkuu,,,,,nimeambiwa usagara pia kuna maeneo je pako vizuri pia?
Shukrani kakaKisesa, usagara nyashishi zote ni miji mipya na unapata access ya barabara. Umeme upo barabara kuu, maji ndo kazi. Maana makazi si mengi Sana. Sasa inategemea na eneo lako la kazi lilipo.
Na penyewe nilipasahau mkuu Pako poa .Kununua nyumba hapana mkuu,,,,,nimeambiwa usagara pia kuna maeneo je pako vizuri pia?