Natafuta Epson PX660

Natafuta Epson PX660

Mr. madevu

JF-Expert Member
Joined
Mar 2, 2013
Posts
432
Reaction score
75
Tafadhali kwa anaejua duka ninaloweza kupata printer ya epson px660 naomba anijulishe pamoja na bei.
 
Tafadhali kwa anaejua duka ninaloweza kupata printer ya epson px660 naomba anijulisha pamoja na bei.
Offtopic!
  • Badala ya kutafuta Epson PX660​
7z5BCu

  • Tafuta hii Epson L800
wNerPf
Sababu
  • Epson PX660 haina mitungi ya nje ukilinganisha na L800 yenye mitungi ya nje ya kuwekea wino
  • Hivyo katika gharama za uendeshaji kama utakuwa na kazi nyingi Epson L800 itakuletea faida kubwa ukilinganisha na Epson PX660 ukilinganisha na ghalama ya wino utakao tumia.
Upatikanaji
  • Ukishidwa kupata Dar es Salaam au Arusha, Itabidi ufanye order online
 
Offtopic!
  • Badala ya kutafuta Epson PX660​
7z5BCu

  • Tafuta hii Epson L800
wNerPf
Sababu
  • Epson PX660 haina mitungi ya nje ukilinganisha na L800 yenye mitungi ya nje ya kuwekea wino
  • Hivyo katika gharama za uendeshaji kama utakuwa na kazi nyingi Epson L800 itakuletea faida kubwa ukilinganisha na Epson PX660 ukilinganisha na ghalama ya wino utakao tumia.
Upatikanaji
  • Ukishidwa kupata Dar es Salaam au Arusha, Itabidi ufanye order online

Asante sana mkuu kwa ushauri, unaweza nijulisha Arusha au Dar naweza pata sehemu gani? Na bei inauzwa bei gani?
 
  • Epson PX660 haina mitungi ya nje ukilinganisha na L800 yenye mitungi ya nje ya kuwekea wino
  • Hivyo katika gharama za uendeshaji kama utakuwa na kazi nyingi Epson L800 itakuletea faida kubwa ukilinganisha na Epson PX660 ukilinganisha na ghalama ya wino utakao tumia.
Upatikanaji
  • Ukishidwa kupata Dar es Salaam au Arusha, Itabidi ufanye order online


Kwa wadau ambao wameshatumia sana hizi printer ukilinganisha na series nyingi sana epson p660 na epson p50 zilikuwa mashine nzuri sana zenye kuhimili kishindo.., na suala la wino wa nje CISS (continous ink supply) third party wanawekea hizo epson p660 na p50

Tukirudi kwa mwenye swali ni kwamba epson hawatoi tena hilo toleo wameshaamia kwenye matoleo mengine ambayo hata bei zake kwa huko sio economical kama ilivyokuwa epson p660 na p50..., anyway hata ukipata epson p660 we nunua hata kama ni refurbished sababu ishakuwa tested vya kutosha huku kwetu.., haya matoleo mapya mengine kama hujui mtu aliyeshanunua na kutumia huenda yana ugonjwa fulani au usumbufu ambao can only be known through experience
 
Kwa wadau ambao wameshatumia sana hizi printer ukilinganisha na series nyingi sana epson p660 na epson p50 zilikuwa mashine nzuri sana zenye kuhimili kishindo.., na suala la wino wa nje CISS (continous ink supply) third party wanawekea hizo epson p660 na p50

Tukirudi kwa mwenye swali ni kwamba epson hawatoi tena hilo toleo wameshaamia kwenye matoleo mengine ambayo hata bei zake kwa huko sio economical kama ilivyokuwa epson p660 na p50..., anyway hata ukipata epson p660 we nunua hata kama ni refurbished sababu ishakuwa tested vya kutosha huku kwetu.., haya matoleo mapya mengine kama hujui mtu aliyeshanunua na kutumia huenda yana ugonjwa fulani au usumbufu ambao can only be known through experience

Asante kiongozi, je unaweza nipatia hio p660 hata kama ni used?
 
hiyo epson l800 iko poa sana nimenunua wiki iliyopita, bei ni kuanzia 750,000. unaweza ipata posta karibu na askari monument baada ya duka la sapna, au masumin stationary ya post, au karibu na kilipokuwa kituo cha mabasi ya mkoani kisutu fuata hiyo barabara kama unaenda mtaa wa samora kuna duka wanauza hapo upande wa kushoto
 
hiyo epson l800 iko poa sana nimenunua wiki iliyopita, bei ni kuanzia 750,000. unaweza ipata posta karibu na askari monument baada ya duka la sapna, au masumin stationary ya post, au karibu na kilipokuwa kituo cha mabasi ya mkoani kisutu fuata hiyo barabara kama unaenda mtaa wa samora kuna duka wanauza hapo upande wa kushoto

CC. Mr. madevu
 
Last edited by a moderator:
Niko nayo mpya kabisa nilinunua nairobi kwa mazumuni ya kuanzisha studio lakini baadae nikahamua kufungua mgahawa nikaacha na mpango wa kufungua photo studio ninaiuza laki sita na kumi niko Moshi mkoani klm
 
Niko nayo mpya kabisa nilinunua nairobi kwa mazumuni ya kuanzisha studio lakini baadae nikahamua kufungua mgahawa nikaacha na mpango wa kufungua photo studio ninaiuza laki sita na kumi niko Moshi mkoani klm

Moshi maeneo gani kaka? Ili nikutafute maana hata mm niko around Moshi.
 
Tafadhali kwa anaejua duka ninaloweza kupata printer ya epson px660 naomba anijulisha pamoja na bei.

Epson px660 is the best photo printer ever. lakini kuipata ndio mziki niliitafuta sana nikakosa. dukani utapata L800, L200 etc etc. ila nakushauri uchukue L800 ina uwezo wa ku Print CD na pia ina cartridge 6.
 
kuna uwezekano wa kuweka tanki za nje kwa PX660. na ndivyo watu wanavyofanya. ishu ni kuipata hii printer kwa sasa

Asante sana mkuu kwa ushauri, unaweza nijulisha Arusha au Dar naweza pata sehemu gani? Na bei inauzwa bei gani?
 
Anayetaka printer za epson+ciss+ink mm nnazo mpya piga 0656 584482
Nipo Dar
 
Back
Top Bottom