Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 54,894
- 64,043
MkuuNina mbwa wakali sana. Huwa staki kesi na hata majirani wanajua hawasogei kwangu
Hiyo Panasonic Tutaifungaje Sasa
ondoa Mbwa Kwa Muda Tuje
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MkuuNina mbwa wakali sana. Huwa staki kesi na hata majirani wanajua hawasogei kwangu
Ukiona KAMPUNI kkoo inatolewa COPY yake yaani ipo FAKE yake basi ujue hiyo kampuni ina STANDARD za kimataifaNashukuru sijaona umeiponda Hisence yangu, pangechimbika
RSUK nilizi underrate kumbe ziko vizuri halafu bei ni poa haziko noisy.Panasonic inadumu zaidi,ufungaji unaweza kuchangia kelele.Panasonic is overrated ila bei yake ni 125k ,Usher nazo ni nzuri 85k au RSUK 65k nazo zinapiga kazi vizuri tu zote hizo ni 56".
RSUK nilizi underrate kumbe ziko vizuri halafu bei ni poa haziko noisy.Panasonic inadumu zaidi,ufungaji unaweza kuchangia kelele.
Tafuta LGWewe unaonekana mtaalamu sana..
Nahitaji Tv nzuri pia..Ushauri wako naomba...
Nahitaji either RSUK au Usher.. naweza pata wapi kwa hiyo bei ndugu nisaidiePanasonic is overrated ila bei yake ni 125k ,Usher nazo ni nzuri 85k au RSUK 65k nazo zinapiga kazi vizuri tu zote hizo ni 56".