Natafuta field!!!!


kama uko serious si lazima useme uko serious unapojinasibu kuwa upo serious ni ushaidi tosha kwamba haupo serious, field na GPA wapi na wapi?
 
Acha ushamba wewe,fild na Gpa wapi na wapi!
 
Acha ujivuni wewe,GPA unaweka hili iweje? Field wanafunzi wote wanapata hata ukipata 2.1 kama ya __________,acha ujivuni huo,hayo mambo yapo CoET.
 
hawa crdb wezi wa watupu gpa na field wapi na wapi......ngoja ntakuulizia benki ya nbc.....wana tawi jipya mbezi beach ntakuchekia huwa naendaga sana pale
 
hawa crdb wezi wa watupu gpa na field wapi na wapi......ngoja ntakuulizia benki ya nbc.....wana tawi jipya mbezi beach ntakuchekia huwa naendaga sana pale

nitakushukuru sana, na namba yangu ya simu kama hautajali ni 0719058458 .
 
Kuna baadhi ya fani wanaangalia GPA ukiomba field hasa fani za uhasibu. Mkuu hajakosea kuweka GPA hapa

Lakini mimi siamini sana kwenye GPA za siku hizi,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…