Soulbrother
JF-Expert Member
- Apr 14, 2009
- 405
- 17
ha hahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa. karibu. lakini kwani una mawazo gani?
mhh! kweli kali.sasa wakija 100,utawamudu? au unachagua 1
mhh! kweli kali.sasa wakija 100,utawamudu? au unachagua 1
Weweeeee! Ohoooo!
Jamaa mjanja sana wewe mwandikie uone makali yake, lazima aombe kugonga Ikulu!
Jamaa mjanja sana wewe mwandikie uone makali yake, lazima aombe kugonga Ikulu!
hahahahaaaaaa.Mchumba bana,huyu anataka kuchat tu hataki mambo mengine,soma vizuri hapo juu.
Jaribu uone! Stuka mchumba! Ntakupoteza hivihivi. LOL!
Poa ntatokea, lakini ntamuomba shemeji Nguli na binamu xpin wanisindikize nisije bakwa bure huko privetinisasa hayo mambo ya private, njoo kwenye chat tusifaidi wengine.
Ishu ya ikulu na kuba*wa imetokea wapi, natafuta kampani tu kupitia mtandao... yaani am a cool dude tena hatuonani.
Nikuulize kaka soulbrother, ina maana katika hiyo ishu ya kuflirt with a stranger hautajataka hata siku moja japo kwa dakika uonane na huyo flirting partner?