Mmh! Hiyo si ya fundi unataka kujenga nyumba ya aina gani? Kiwanja unacho? Au hiyo hiyo milioni 5 ni ya kiwanja piaHello sweethearts.
Kama wewe Ni fundi ujenzi,au una idea na kujenga,Bei za vifaa,kiwanja etc..njoo tupige story
...Nina million tano hapa.
Naplan kiwanja Cha 15/20
Halafu fundi anijengee Apo kitu Cha kuishi [emoji174]
..Eneo ninalotaka Ni boma ng'ombe Moshi.
Pepsi itaisha kabla ya kuifaidi,kapigie chingili/gongo🤣Njoonni Basi[emoji22] au ela yangu nikanywe peps
Zote makaveli[emoji23] Hadi kiwanjaKwanini umeanza kutangaza bei, hiyo bajetiniwe siri yako. Ungetafuta fundi, ukampa mchoro, yeye ndio aseme sh ngapi kwa kazi hiyo..
Na hiyo 5 ndio kujenga boma tu ama na kupaua tu, ama kazi zooote.?
Ya umeme unipe, bado hujapata fundi ujenzi?St Dorcas
Acha kuvuta hiyo kitu sasaZote makaveli[emoji23] Hadi kiwanja
😂Bado hujasema[emoji23] kwan rum moja sipat? Na kiwanja 10/15?[emoji2960][emoji2960]
Kweli haitomalizaNtakupa,usiwaze..fundi ujenzi bado eti 5 m wanasema ndogo[emoji22]