Tony Cipriano
JF-Expert Member
- Nov 17, 2022
- 2,139
- 5,109
umeshapata fundi?Asante Tonny,Sasa umekuja kwny point..lengo la post yangu Ni kuomba makadirio yatakayoendana na 5 M.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
umeshapata fundi?Asante Tonny,Sasa umekuja kwny point..lengo la post yangu Ni kuomba makadirio yatakayoendana na 5 M.
Alubati...fundi atajenga room moja kwa 5 M[emoji29]
Mkuu sehem gan uzunguni,kingereka, barabara ya sanya,kwa wasomali,half London ebu sema ni wapiHello sweethearts.
Kama wewe Ni fundi ujenzi,au una idea na kujenga,Bei za vifaa,kiwanja etc..njoo tupige story
...Nina million tano hapa.
Naplan kiwanja Cha 15/20
Halafu fundi anijengee Apo kitu Cha kuishi [emoji174]
..Eneo ninalotaka Ni boma ng'ombe Moshi.
Kuna jamaa alimjengea dem nyumba singida bila hela akapewa utam yakawa ndiyo malipo imeisha hiyoHhahaa oyaa [emoji1787][emoji1787] hii kazi lazima uwe ngastuka machale kundesa bila hivyo utalia
Nikabidhi mimiOyaaa,unastuka nin Sasa[emoji23][emoji23][emoji23] mi nakukabidhi m5 yote mkonon narud zangu nlikotoka[emoji23][emoji23][emoji23] nkirud Xmas ijayo unikabidhi Jambo langu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ukiamua ikule
Wanawake hatari sanaKuna jamaa alimjengea dem nyumba singida bila hela akapewa utam yakawa ndiyo malipo imeisha hiyo
Jamaa alikua analala kwa dem baadae akamtupia kibeg cha nguo nje
Asante namba moja, una mawazo ya kufariji sana[emoji3590] Kuna watu wananifanya nione 5 M Ni nothing,wabayaaaaa[emoji23]Room Moja hapana mbili inawezekana Kwa hiyo Hela!usi complicate sana paa liende juu sana!just normal!
Chumba self na sebule na kakenopy kadogo inawezekana!!
Milion Moja kiwanja kidogo tu!million Moja ufyatuaji tofali mifuko 20 tofali 800, 40 Kila mfuko za inch tano!milion moja kujenga Hadi lenta!milioni Moja mbao na bati hapo maximum bati 22 plus mbao!fundi kupaua laki mbili!million Moja finishing!anzia chumba ca kulala halafu sebule simple ,ripu isizidi inch moja utatumia mifuko kama 10,madirisha simple chomelea gonga wavu wa mbu!Asante namba moja, una mawazo ya kufariji sana[emoji3590] Kuna watu wananifanya nione 5 M Ni nothing,wabayaaaaa[emoji23]
Hahaaa, Asante kwa ujumbe huu, nimeufurahia, na najua mwaka huu ntaufanyia kazi.Barikiwa sana,nakuombea upate deal kubwa kuliko Hilo la ukumbi[emoji3590]Milion Moja kiwanja kidogo tu!million Moja ufyatuaji tofali mifuko 20 tofali 800, 40 Kila mfuko za inch tano!milion moja kujenga Hadi lenta!milioni Moja mbao na bati hapo maximum bati 22 plus mbao!fundi kupaua laki mbili!million Moja finishing!anzia chumba ca kulala halafu sebule simple ,ripu isizidi inch moja utatumia mifuko kama 10,madirisha simple chomelea gonga wavu wa mbu!
Nyumba ni self weka singbod chumbani kwanza!shimo la choo simple tu!!!milango simple!mengine pole pole hamia kabisa!!
Kwamimi Huwa najenga vyumba viwili na sebule kwa hiyo hela!!
Kama nilijenga ukumbi was mpira kwa million tatu hiyo sishindwi!!!
Baby Mamy Salaam,nami nina uhitaji wa kununua Kiwanja maeneo hayo ya Bomang'ombe,naomba kama unamfahamu muuzaji yeyote binafsi unisaidie kuniunganisha nae,haya Makampuni yanayouza Viwanja yapo Bei juu sana,naomba uje PM kama una taarifaHello sweethearts.
Kama wewe Ni fundi ujenzi,au una idea na kujenga,Bei za vifaa,kiwanja etc..njoo tupige story
...Nina million tano hapa.
Naplan kiwanja Cha 15/20
Halafu fundi anijengee Apo kitu Cha kuishi [emoji174]
..Eneo ninalotaka Ni boma ng'ombe Moshi.
Umejaribu Bei kwa kampuni ipi?na ilikua sh ngapi?Baby Mamy Salaam,nami nina uhitaji wa kununua Kiwanja maeneo hayo ya Bomang'ombe,naomba kama unamfahamu muuzaji yeyote binafsi unisaidie kuniunganisha nae,haya Makampuni yanayouza Viwanja yapo Bei juu sana,naomba uje PM kama una taarifa
KAMBELE Bei zao zinatisha,hatua 20 kwa 20 waliniambia ml.11 mpaka 12Umejaribu Bei kwa kampuni ipi?na ilikua sh ngapi?
Ndio unisaidie sasa kama ni mwenyeji maeneo hayo,mimi nipo Arusha,naomba uje PMEeh[emoji23][emoji23][emoji23] wanatisha