Natafuta fundi wa Pajero Min, Arusha

Natafuta fundi wa Pajero Min, Arusha

gnd

New Member
Joined
Feb 15, 2015
Posts
4
Reaction score
3
Hello wana JF,

Naomba mtu anayefahamu fundi wa Mitsubishi anisaidie kwa Arusha.
Gari inachelewa sana kubadili gear na inatembea kwa rpm kubwa sana kwa speed ndogo na kuna muda inakosa nguvu kabisa.

Asanteni sana.
 
Hello wana JF,

Naomba mtu anayefahamu fundi wa Mitsubishi anisaidie kwa Arusha.
Gari inachelewa sana kubadili gear na inatembea kwa rpm kubwa sana kwa speed ndogo na kuna muda inakosa nguvu kabisa.

Asanteni sana.
Hivyo vigari kutembea Kwa rpm kubwa ni kawaida hasa isiyo na turbo
 
Hivyo vigari kutembea Kwa rpm kubwa ni kawaida hasa isiyo na turbo
Hii ina turbo boss na sasa hivi tatizo limezidi kwenye kamwinuko kidogo tu D haisogezi mpaka 2 au L.
 
Back
Top Bottom