Natafuta gari ambayo ni ya zamani ila haijachoka au kutumika sana

Natafuta gari ambayo ni ya zamani ila haijachoka au kutumika sana

Error 404

JF-Expert Member
Joined
Jun 21, 2022
Posts
2,151
Reaction score
3,493
Popote ulipo mrembo mwenye miaka 26-30 , isiwe single mother

Nimechoka kuishi peke yangu karibu tusaidiane maisha uwe mke wangu

Uwe wewe au una mdogo wako au rafiki yako mjulishe taarifa hii
 
Popote ulipo mrembo mwenye miaka 26-30 , isiwe single mother

Nimechoka kuishi peke yangu karibu tusaidiane maisha uwe mke wangu

Uwe wewe au una mdogo wako au rafiki yako mjurishe taarifa hii
Gari la miaka 30 alijachoka utolitowa wapi katika bongo hi yenye barabara mbovu, umasikini hapo pokea tu lishangazi moja kwa moja.
 
Gari la miaka 30 alijachoka utolitowa wapi katika bongo hi yenye barabara mbovu, umasikini hapo pokea tu lishangazi moja kwa moja.
😂😂😂😂 Hapo ngumu
 
kuna mwenzio jana kaja kulalamika mwenye 26 years single mama with 3 kiddos anamsumbua sembuse wewe unataka wa 30, jiandae jombaa.
 
Popote ulipo mrembo mwenye miaka 26-30 , isiwe single mother

Nimechoka kuishi peke yangu karibu tusaidiane maisha uwe mke wangu

Uwe wewe au una mdogo wako au rafiki yako mjulishe taarifa hii
Gari ya zamani ambayo haijachoka sana...!
 
Back
Top Bottom