Kwahiyo wewe mwisho wako wa kufikiria ni kwa Obama? My point is, you completely missed the point I meant, period! Ulipotoka kwenye mada nikaamua kukufuata huko huko, sasa naona na kwenyewe unatapatapa tu hujui unachokisema. Ngoja nikuache manake kamwe akili ndogo haiwezi kuiongoza akili kubwa!
Mie ni dalali ila hizo model unazotaka sina haziuziki maana wengi wanaoendesha hizo model ni mademu na kama unavyojua mashosti kuuza magari yao ni ngumu coz hela ya wese kwake sio tatizo maana kuna stakeholders wanaomuwekea mafuta,halafu sijakwambia kama mie napenda hizo model nimechangia coz ya dharau uliyoonyesha,kwahyo unataka kuniambia hautonunua Limousine kwasababu yanatumika sana kwenye harusi? Think big wengine hizo hizo tax ndio magari ya dream zao! Kwangu mimi vigari unavyovitaka hata bure nipewe sichukui,opa? Fielder? Ha Ha Ha Ha Ha Ha Baadae sana! Mie nshatoka kwenye Toyota!!
Nikujue we nan what for? Kwan we unanijua mi nan? Obama mwenyewe mtu tu kama wengine, kwa hiyo we ni nan hasa..? na ungekuwa na busara huwezi kumjibu mtu kiujinga, we huoni wenye busara zao wanavyorespond kwe thread za humu? lakini na wapumbavu pia wamo kwa hiyo sikushangai
I think your level of appreciating issues is diminishing! Idiot!Now you are talking, akili yako ndogo usirudie tena kuparamia usivyovijua... Ushauri wa bure "JIHESHIMU NAWE UTAHESHIMIWA"
Yangu ndogo siyo? Sasa hebu iweke hapa akili yako tuone jinsi ilivyo "kubwa jinga"!Si nilikwambia akili yako ndogo, unaona ushaanza matusi ambayo ndo silaha ya wenye akili finyu
Hahahaaa.., tufanye umeshinda basi ufurahi.. Poa
Akiwemo Mama yako, siyo? That's why I once told you that your level of appreciating issues is diminishing dramatically!Wanawake ndo wanajiweza kulumbana, wanaume hatuwezi... Kwa hiyo we endelea tu naona jinsia yako inakuruhusu
Kwanza uko wrong site with wrong claim.. utakuwa ushavurugwa na hao ccm wako.. Hivi kwanza we hujui kama kuna jukwaa la siasa na biashara humu kwe JF?!! We mgeni siyo..??? Kama unataka siasa si uende kwe jukwaa husika, eboo...!!, we vipi na njaa zako bwn. Kama huna hela hata ya baiskeli tuache wengine tutafute tunavyotaka.. Ukome kabisa kujibu pumba kwa vitu usivyoelewa na visivyokuhusu.. UKOME!!
Huyo jamaa bana inamana ametoka mpaka wenye Toyota Landcruiser,wakina Hardtop,V8,VX,TX......na model nyingine expensive za Toyota?We njaa tu huna lolote... Ushatoka kwenye toyota umeenda wap, na nani kakuuliza kwan
kichwa cha somo hapo juu chahusika.. kwa aina nyingine iwe ni toyota tu isipokuwa hizi aina ya mark II sijui na nyinginezo zinazotumika sana kama za tax (hizo hapana). bei taja bei, mwaka na umbali iliyotembea. bila kusahau rangi na transmission type yake (automatic tu)
Wadau nashukuru kwa response zenu, hususan kwa wale wenye busara. Nimepata Alteza Gita ya 2005 so naomba msirepond tena kwe hii post... Nawatakia mwaka mpya wenye mafanikio...kiroho, kimwili, kiufahamu........