Natafuta gari ya kukodi

Natafuta gari ya kukodi

The Tactician

Member
Joined
Oct 31, 2018
Posts
18
Reaction score
3
Habari zenu wakuu,

Nahitaji kukodi gari zifuatazo, kwa ajili ya mizunguko ya hapa na pale ndani ya jiji la Dar es Salaam.

Yoyote mwenye moja kati ya hizi gari au zote kwa pamoja naomba aipost gari hapa tujadili au anicheki kupitia +255627315218 niione gari, kisha tuanze jadili gharama na maandikishano.

NB; Gari iwe katika hali nzuri, yaani iwe "Roadworthy".

Karibuni


images - 2022-12-02T221329.846.jpeg
images - 2022-12-02T221016.533.jpeg
images - 2022-12-02T221601.344.jpeg
images - 2022-12-02T215634.283.jpeg
images (12).jpeg
images - 2022-12-02T215203.015.jpeg
images - 2022-12-02T215321.898.jpeg
81c4e0c46556154eb50593ce83d593e5.jpg
124e9957ad13db56ccb73e393ad3cce8.jpg
 
Habari zenu wakuu,

Nahitaji kukodi gari zifuatazo, kwa ajili ya mizunguko ya hapa na pale ndani ya jiji la Dar es Salaam.

Yoyote mwenye moja kati ya hizi gari au zote kwa pamoja naomba aipost gari hapa tujadili au anicheki kupitia +255627315218 niione gari, kisha tuanze jadili gharama na maandikishano.

NB; Gari iwe katika hali nzuri, yaani iwe "Roadworthy".

Karibuni


View attachment 2436045View attachment 2436053View attachment 2436054View attachment 2436055View attachment 2436046View attachment 2436047View attachment 2436049View attachment 2436051View attachment 2436052
Gari ipo boss ina hali nzuri Nissan march . Je ni mizunguko ipi mashuti ya mbali dar - mbeya au! Dadavua mizunguko ipi
 
Back
Top Bottom