Nenda Biafra pale yamejaa kwa bei shindani MkuuWakuu habarini za humu.
Kichwa Cha habari hapo juu kinajieleza...
Kumbe unajua yalipo? Sidhani kama hapa utasaidika haraka kuliko kule maana kule ni sokoni kwenye bei maelewano. Wengi wamekushauri hivyo.Najua Biafra ipo, nimekuja hapa kujua naweza pata usaidizi wa haraka
Poleni, mchek huyu jamaa ni mwenyekiti wa wenye Coster pale Maeneo ya Ubungo External Namba 0715999661 niliwahi kufanya nae kazi!!Wakuu habarini za humu.
Kichwa Cha habari hapo juu kinajieleza, natafuta gari ya kusafirisha maiti kutoka Dar to Musoma, iwe katika Hali nzuri.
Kwa walio nazo, offer za bei zenu toeni hadharani kwenye comment nitakaefikia nae muafaka nitamfuata DM tukamilishe dili
Hana bei.Una bei gani Gari zipo kinondoni makabirini
Habari mkuu pole kwa tatizo.Wakuu habarini za humu.
Kichwa Cha habari hapo juu kinajieleza, natafuta gari ya kusafirisha maiti kutoka Dar to Musoma, iwe katika Hali nzuri.
Kwa walio nazo, offer za bei zenu toeni hadharani kwenye comment nitakaefikia nae muafaka nitamfuata DM tukamilishe dili