Mtumishi wa Bwana89
JF-Expert Member
- Jul 23, 2018
- 3,191
- 4,220
Labda passoLabda Toyo iliyochoka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda passoLabda Toyo iliyochoka
amesema gari sio bajajHili jina lako likitamkwa na MSUKUMA Lina vutia..
Back to the topic
Jamaa aongeze 1m iwe 5m nimwachie passo namba D
Utapata mojawapo ya hizi, kwa bei hiyo, ikiwa katika hali nzuri tu.NINA 4,000,000
NIPE MOJAWAPO 👇
Nissan extrail, alteza, markx , mark2 markX, brevis
Acha tu ndugu, kuna watu wanadharau, halafu ukija kukutana nae live ndio wale wa pangu pakavu. Mie nina gari nilinunua milioni 4 kunako 2021, inapiga kazi vizuri tu mpaka dakika hii. Haijawahi kuwa na changamoto kubwa zaidi ya marekebisho madogo ya kawaida.Unakuta mtu anaishi kwa shemeji yake yaani ni KKB (Kula kulala bureee)
Alaf anadharau gari aina ya passo WAKATI hajawahi hata kumiliki milioni moja ya pamoja.
Sikuzungumzii wewe nazungumzia baadhi ya watanzania wenzangu wenye hiyo kasumba.
Sio kweli bro, nina gari nzima kabisa niliipata kwa bei hio. Mwaka wa tatu huu inapiga kazi, tenda naipiga trip ndegu sana kila wakati, zaidi ya kilometa 1000 kwa trip.Peleka Shamba hiyo Hela au Kaiwekeze kwa wale Jamaa wanaotangazwa na yule Mnafiki wa Channel Ten upige Hela ila katika Gari kwa hiyo Hela utalipata ambalo Bovu ( Mkangafu ) ambalo kila Wiki litakugharimu ulipeleke Gereji kwa Matengenezo.
unaisikia tu.... huijui au unasikia kwa watuXtrail hata kwa mil 1 unapata
Nishapata verosa mkuu Kali sana japo namba CUtapata mojawapo ya hizi, kwa bei hiyo, ikiwa katika hali nzuri tu.
Sio rahisi kuata Extrail kwa bei hiyo wala altezza. Mie nilipata Cresta kwa beio hio kunako 2021 na inaduna mpaka leo, iko vozuri sana, namba C.
- Mark II - Cresta (GX 100/110)
- Brevis
V6 2.0L safi...1ltr is only for Azam juiceNishapata kinanda mkuu verosa piston 6 Cc 1980