Natafuta gesti za 5,000 Mbeya

Natafuta gesti za 5,000 Mbeya

aaddoo

Member
Joined
May 25, 2022
Posts
5
Reaction score
1
Jamani mwenye connection za gest za 5000 kwa mbeya anipe, au za bei poa naeza nkakaa.
 
Nenda Uyole, upande wa kulia kama unakwenda town, chinichini kidogo ipo Moja ya bei hizo.
 
Jamani mwenye connection za gest za 5000 kwa mbeya anipe, au za bei poa naeza nkakaa.
Nenda pale Mtaa wa Rungwe Music opposite na Soko la Sido ulizia Guest ya Pajero then lipia 5000 yako
 
Sijui kama kwa sasa zipo ila niliwahi kulala 2014 basi la Arusha limefika Mbeya saa tisa usiku

nenda stendi ya mabasi ya mikoani mjini (sio stendi ya nanenane) kuna gesti hapo hapo stendi, hakikisha unatoka na mizigo yako muhimu kila ukitoka nje.
 
Nenda Uyole, upande wa kulia kama unakwenda town, chinichini kidogo ipo Moja ya bei hizo.
Pale ni elfu 6 sema hizo blanketi na mashuka yao nadhani mara ya mwisho kufuliwa yalifuliwa mwaka 1987.panaitwa star lodge
 
Pale ni elfu 6 sema hizo blanketi na mashuka yao nadhani mara ya mwisho kufuliwa yalifuliwa mwaka 1987.panaitwa star lodge
Ni rahisi sana kuwaimbisha wa sh. 6000 kukulaza kwa 5000 kuliko wa 10000. Hilo la ma blanket alitegemee
 
Mwaka 1984 nilikaa Mbeya kuanzia mwezi wa 5 mpaka wa 8 katikati, nilioga siku nimefika baaasi!!
IMG-20240428-WA0035.jpg
 
Back
Top Bottom