Natafuta girl friend mjamzito

Natafuta girl friend mjamzito

Mwenzenu huwa nawazimia sana akina dada wajawazito. Hivyo naomba tuwasilane

Wewe sema unatafuta wake za watu. Alafu nyie ndo mkiona mke wa jirani yenu kapata mimba mnajifanya kuwa karibu nao ili muonekane mmependwa kwa mimba husika.

We kaoe wakwako. Kama huna uwezo wakutunga mimba basi mimi ntakusaidia.

pia ni vyema ukumbuke kuwa ata ukimpata huyo si girlfriend bali ni womanfriend au wifefriend.
 
Mwenzenu huwa nawazimia sana akina dada wajawazito. Hivyo naomba tuwasilane
Ila wewe jamaa mjinga sana, yaani unafikiri mimba itadumu milele! Kwa hiyo huyo girl friend wako akizaa upendo utakwisha? ID ni tosha kabisa kuku - judge. Acha ndoto za mchana mchana!
 
Yaani tangu 2008 ulikua unafikiria nini cha kupost, ndio hiki kituko umekiona cha maana! Hongera!
 
Ukiona hivyo ujue hawezi kumpa demu mimba... Lete wako tumpe then akishajaa tunakurudishia!! Shetani mkubwa ww....
 
Mwenzenu huwa nawazimia sana akina dada wajawazito. Hivyo naomba tuwasilane
Kama jina lako lilivyo kwa kweli wewe ni Mjinga. Kama unazipenda mimba kwa nini usiwe unaweka mwenyewe? Au huna mayai?
 
jamani lakin amesema tu,hao ndiyo yaliopo mawazon mwake na amependa kuwashirikisha cha msing ni kumuelekeza na kumwambia kama alichosema si sahihi bai ,lakin si kumtukana na kumjibu ovyo.
 
Sredi hii imenisaidia sana kupata girl friend.Asante sana
 
Back
Top Bottom